TAREHE
|
KAMATI
|
MAELEZO YA ZITTO
|
28/02/2013
|
Aliitwa na kamati ya kufuatilia
fedha za Uswiss katika ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali Dodoma.
|
Alitoa taarifa kuwa anazo nyaraka
zote zenye taarifa za walioficha fedha Uswis kwa majina na namba za account
zao.
|
Pia alitoa masharti ya yeye kutoa
ushahidi huo mbele ya kamati.
|
||
1. Kwanza asibugudhiwena mtu kwani
taarifa alizonazo ni za siri.
2. Ahakikishiwe usalama wake kwa kuwa taarifa hizo ni nyeti sana. |
||
20/03/2013
|
Kamati ilimwita Dar Es Salaam
|
Alitoa udhuru kuwa yupo jeshini
hivyo hawezi kufika mbele ya kamati kwa wakati huo.
|
22/03/2013
|
Kamati ilimfuata katika kambi ya
jeshi Tanga kwa mahojiano nae.
|
Katika majadiliano hakuweza kutoa
majibu na kutaka wamwache hadi atakapo maliza mafunzo ya jeshi na kurejea
ndipo atatoa huo ushahidi.
|
12/04/2013
|
Kamati ilimwita tena Dodoma kwa
mahojiano.
|
Alitoa udhuru kwa kusema anasafari
ya kwenda Afrika Kusini.
|
14/05/2013
|
Kamati ilimwita tena Dodoma kwa
mahojiano nae kupta ushahidi na majina aliyodai anayo.
|
Hakufika mbele ya kamati na
akasema,
1. Ana hoja yenye maslahi kwa taifa. 2. Kamati iliwasiliana naye akadai anajiandaa na mdahalo wa kigoda cha mwalimu Dar Es Salaam. |
18/06/2013
|
Kamati ilimwita tena bila kuchoka
|
Alitoa udhuru kuwa anafanya
maandalizi ya timu ya Taifa kwenda AFCON kwa kuwa yeye yupo katika kamati ya
maandalizi ya timu ya Taifa.
|
Kamati baada ya usumbufu wote huo
ikaona ni vema kutumia njia mbadala ya kupata taarifa alizonazo ili
kuiwezesha serikali kuchukua hatua.
|
||
Kamati ilimpa Mh Zitto Zuberi
Kabwe hati ya kuitwa mbele ya kamati.
|
Zitto kwa kuapa mbele ya kamati
alisema,
Sina jina lelote wala akaunti ya mtu yeyote anaemiliki fedha Uswis. |
|
12/12/2013
|
Zitto katika mchango wake alidai
kwa nini hoja yake haisikilizwi na serikali ipo kimya huku yeye nayo majina
|
ZITTO KUITWA NA KAMATI MAALUMU YA UCHUNGUZI WA MABILIONI YA NJE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment