Dr Ulimboka anaendelea vizuri

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Madactari, Dr. Ulimboka anaendelea vizuri. Inasemekana Madactari wameendelea kupokea vitisho kwa njia ya sms. Mgaya (Katibu TUCTA) amesema wapo kwenye mchakato wa kuliwasilisha jambo hilo kwenye 

shirika la kazi Duniani (ILO)


Source: JF

No comments:

Post a Comment